Yobu 27:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Maana tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Asiyemcha Mungu ana tumaini gani, Mungu anapomkatilia mbali, anapomwondolea uhai wake? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Asiyemcha Mungu ana tumaini gani, Mungu anapomkatilia mbali, anapomwondolea uhai wake? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Asiyemcha Mungu ana tumaini gani, Mungu anapomkatilia mbali, anapomwondolea uhai wake? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kwa maana mtu asiyemcha Mungu analo tegemeo gani anapokatiliwa mbali, Mungu anapouondoa uhai wake? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kwa maana mtu asiyemcha Mungu analo tegemeo gani anapokatiliwa mbali, Mungu anapouondoa uhai wake? Tazama sura |