Yobu 27:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Adui yangu na awe kama huyo mwovu, Na mpinzani wangu awe kama asiye haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 “Adui yangu na apate adhabu ya mwovu, anayeinuka kunilaumu aadhibiwe kama mbaya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 “Adui yangu na apate adhabu ya mwovu, anayeinuka kunilaumu aadhibiwe kama mbaya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 “Adui yangu na apate adhabu ya mwovu, anayeinuka kunilaumu aadhibiwe kama mbaya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 “Watesi wangu wawe kama waovu, nao adui zangu wawe kama wasio haki! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 “Watesi wangu wawe kama waovu, nao adui zangu wawe kama wasio haki! Tazama sura |