Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 27:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Adui yangu na awe kama huyo mwovu, Na mpinzani wangu awe kama asiye haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 “Adui yangu na apate adhabu ya mwovu, anayeinuka kunilaumu aadhibiwe kama mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 “Adui yangu na apate adhabu ya mwovu, anayeinuka kunilaumu aadhibiwe kama mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 “Adui yangu na apate adhabu ya mwovu, anayeinuka kunilaumu aadhibiwe kama mbaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 “Watesi wangu wawe kama waovu, nao adui zangu wawe kama wasio haki!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 “Watesi wangu wawe kama waovu, nao adui zangu wawe kama wasio haki!

Tazama sura Nakili




Yobu 27:7
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye mfalme akamwambia yule Mkushi, Yule kijana, Absalomu, je! Yuko salama? Yule Mkushi akajibu, Adui za bwana wangu mfalme, na wote wainukao ili kukudhuru, na wawe kama alivyo yule kijana.


Haki yangu naishika sana, wala sitaiacha; Moyo wangu hautanisuta wakati nikiwapo hai.


Maana tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake?


Laiti ningekuwa na mtu wa kunisikia! (Tazama, sahihi yangu ni hii, Mwenyezi na anijibu); Laiti ningekuwa na hayo mashitaka yaliyoandikwa na adui yangu!


Ndipo Danieli, aliyeitwa jina lake Belteshaza, akashangaa kwa muda, na fikira zake zikamfadhaisha. Mfalme akajibu akasema, Ee Belteshaza, ndoto ile isikufadhaishe wala tafsiri yake. Belteshaza akajibu, akasema, Bwana wangu, ndoto hii iwapate wao wakuchukiao, na tafsiri yake iwapate adui zako.


Basi sasa, bwana wangu, aishivyo BWANA, na iishivyo nafsi yako, kwa kuwa BWANA amekuzuia usimwage damu, tena usijilipize kisasi mkono wako mwenyewe, basi sasa adui zako, na hao wamtakiao bwana wangu mabaya, wawe kama Nabali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo