Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 27:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Yeye hujenga nyumba yake kama mdudu, Na kama kibanda afanyacho mlinzi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Nyumba ajengayo mwovu ni kama utando wa buibui, ni kama kibanda cha mlinzi shambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Nyumba ajengayo mwovu ni kama utando wa buibui, ni kama kibanda cha mlinzi shambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Nyumba ajengayo mwovu ni kama utando wa buibui, ni kama kibanda cha mlinzi shambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui, kama kibanda alichotengeneza mlinzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui, kama kibanda alichotengeneza mlinzi.

Tazama sura Nakili




Yobu 27:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Atang'olewa katika hema yake aliyokuwa akiitumaini; Naye atapelekwa kwake mfalme wa vitisho.


Na binti Sayuni ameachwa kama kibanda katika shamba la mizabibu, kama kipenu katika shamba la matango, kama mji uliohusuriwa.


Makao yangu yameondolewa kabisa, yamechukuliwa kama hema ya mchungaji; Nimekunja maisha yangu kama mfumaji; atanikatilia mbali na kitanda cha mfumi; Tangu mchana hata usiku wanimaliza.


Maana nondo atawala kama vazi, na funza atawala kama sufu; bali haki yangu itakuwa ya milele, na wokovu wangu hata vizazi vyote.


Naye ameondoa maskani yake kwa nguvu, Kana kwamba ni ya bustani tu; Ameziharibu sikukuu zake; BWANA amezisahaulisha katika Sayuni Sikukuu na sabato; Naye amewadharau mfalme na kuhani Katika uchungu wa hasira yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo