Yobu 27:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Yumkini kuyatengeza, lakini wenye haki watayavaa, Nao wasio na hatia watazigawanya hizo fedha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 na arundike tu, lakini mnyofu ndiye atakayeyavaa, na fedha yake watagawana watu wasio na hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 na arundike tu, lakini mnyofu ndiye atakayeyavaa, na fedha yake watagawana watu wasio na hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 na arundike tu, lakini mnyofu ndiye atakayeyavaa, na fedha yake watagawana watu wasio na hatia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 yale yote mtu mwovu aliyojiwekea akiba, mwenye haki atayavaa, naye asiye na hatia ataigawanya fedha yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 yale yote mtu mwovu aliyojiwekea akiba, mwenye haki atayavaa, naye asiye na hatia ataigawanya fedha yake. Tazama sura |