Yobu 27:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kwa Mungu, Na urithi wa hao waoneao, waupokeao kwa Mwenyezi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 “Hiki ndicho Mungu alichomwekea mtu mwovu, alichopangiwa mdhalimu kupata ni hiki: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 “Hiki ndicho Mungu alichomwekea mtu mwovu, alichopangiwa mdhalimu kupata ni hiki: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 “Hiki ndicho Mungu alichomwekea mtu mwovu, alichopangiwa mdhalimu kupata ni hiki: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 “Hili ndilo fungu ambalo Mungu humpa mtu mwovu, urithi ule mtu mdhalimu anapokea kutoka kwa Mwenyezi: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 “Hili ndilo fungu ambalo Mungu humpa mtu mwovu, urithi ule mtu mdhalimu anapokea kutoka kwa Mwenyezi: Tazama sura |