Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 26:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Je! Umetamka maneno kwa nani? Kisha ni roho ya nani iliyotoka kwako?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Lakini umetamka hayo kwa ajili ya nani? Nani aliyekusukuma kuongea hivyo?” Bildadi akajibu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Lakini umetamka hayo kwa ajili ya nani? Nani aliyekusukuma kuongea hivyo?” Bildadi akajibu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Lakini umetamka hayo kwa ajili ya nani? Nani aliyekusukuma kuongea hivyo?” Uwezo mkuu wa Mungu Bildadi akajibu:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?

Tazama sura Nakili




Yobu 26:4
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nimesikia maonyo yanayonitahayarisha, Nayo roho ya ufahamu wangu hunijibu.


Jinsi ulivyomshauri huyo asiye na hekima! Na kutangaza ujuzi wa kweli kwa wingi!


Hao waliokufa watetemesha Chini ya maji na hao wakaamo humo.


Kwa kuwa nimejaa maneno; Roho iliyo ndani yangu hunihimiza.


Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.


Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo