Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 26:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Hizo mbingu hupambwa kwa roho yake; Mkono wake umemchoma nyoka aendaye mbio.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kwa pumzi yake aliisafisha anga; mkono wake ulilichoma joka lirukalo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kwa pumzi yake aliisafisha anga; mkono wake ulilichoma joka lirukalo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kwa pumzi yake aliisafisha anga; mkono wake ulilichoma joka lirukalo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.

Tazama sura Nakili




Yobu 26:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nayo nchi ilikuwa tupu, tena bila umbo, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.


Ambaye peke yake ni mwenye kuzitandika mbingu, Na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.


Waituma roho yako, wanaumbwa, Nawe waufanya upya uso wa nchi.


Katika siku hiyo BWANA, kwa upanga wake ulio mkali, ulio mkubwa, ulio na nguvu, atamwadhibu Lewiathani, nyoka yule mwepesi, na Lewiathani, nyoka yule mwenye kuzongazonga; naye atamwua yule joka aliye baharini.


Lile joka kuu likatupwa, yule nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika wake wakatupwa pamoja naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo