Yobu 24:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Wako wamwondoao matitini kwa nguvu huyo asiye na baba, Na kutwaa rehani kwa maskini; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Wapo na wanaowanyakua watoto yatima vifuani mwa mama yao. Wengine huwaweka rehani watoto wa maskini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Wapo na wanaowanyakua watoto yatima vifuani mwa mama yao. Wengine huwaweka rehani watoto wa maskini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Wapo na wanaowanyakua watoto yatima vifuani mwa mama yao. Wengine huwaweka rehani watoto wa maskini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Mtoto yatima hupokonywa matitini; mtoto mchanga wa maskini hunyakuliwa kwa ajili ya deni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Mtoto yatima hupokonywa matitini; mtoto wachanga wa maskini hunyakuliwa kwa ajili ya deni. Tazama sura |