Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 24:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Wako wamwondoao matitini kwa nguvu huyo asiye na baba, Na kutwaa rehani kwa maskini;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Wapo na wanaowanyakua watoto yatima vifuani mwa mama yao. Wengine huwaweka rehani watoto wa maskini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Wapo na wanaowanyakua watoto yatima vifuani mwa mama yao. Wengine huwaweka rehani watoto wa maskini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Wapo na wanaowanyakua watoto yatima vifuani mwa mama yao. Wengine huwaweka rehani watoto wa maskini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mtoto yatima hupokonywa matitini; mtoto mchanga wa maskini hunyakuliwa kwa ajili ya deni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mtoto yatima hupokonywa matitini; mtoto wachanga wa maskini hunyakuliwa kwa ajili ya deni.

Tazama sura Nakili




Yobu 24:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, mwanamke mmoja miongoni mwa wake za wana wa manabii alimlilia Elisha, akasema, Mtumishi wako mume wangu amekufa; nawe unajua ya kuwa mtumishi wako alikuwa mcha BWANA; na aliyemdai amekuja ili ajitwalie wana wangu wawili kuwa watumwa.


Walakini miili yetu ni kama miili ya ndugu zetu, na watoto wetu kama watoto wao; kumbe! Mnawatia utumwani wana wetu na binti zetu kuwa watumishi, na baadhi ya binti zetu wamekwisha kutiwa utumwani; wala hatuwezi kujiepusha na hayo; maana watu wengine wana mashamba yetu na mizabibu yetu.


Kwa kuwa umetwaa dhamana kwa nduguyo bure, Na kuwavua nguo zao walio uchi.


Hata wazunguke uchi bila mavazi, Nao wakiwa na njaa huchukua miganda;


Hutota kwa manyunyu ya milimani, Na kugandamania kwa jabali ili kujikinga,


Kwa sababu nilimwokoa maskini aliyenililia; Yatima naye, na yule asiyekuwa na mtu wa kumsaidia.


Naam, mwapenda kuwapigia kura hao mayatima, Na kufanya biashara ya rafiki yenu.


BWANA ataingia katika kuwahukumu wazee wa watu wake na wakuu wao; Ninyi ndinyi mliokula shamba la mizabibu; vitu mlivyowateka maskini vi ndani ya nyumba zenu.


Mtu akionekana anamwiba nduguze mmojawapo katika wana wa Israeli, akamfanya kama mtumwa, au kumwuza; na afe mwizi huyo; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo