Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 24:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Hutota kwa manyunyu ya milimani, Na kugandamania kwa jabali ili kujikinga,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Wamelowa kwa mvua ya milimani, hujibanza miambani kujificha wasilowe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Wamelowa kwa mvua ya milimani, hujibanza miambani kujificha wasilowe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Wamelowa kwa mvua ya milimani, hujibanza miambani kujificha wasilowe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Hutota kwa mvua za mlimani, nao huikumbatia miamba kwa ajili ya kukosa pa kujisitiri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Hutota kwa mvua za mlimani, nao huikumbatia miamba kwa ajili ya kukosa pa kujisitiri.

Tazama sura Nakili




Yobu 24:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hujilaza usiku kucha uchi bila nguo, Wala hawana cha kujifunika baridi.


Wako wamwondoao matitini kwa nguvu huyo asiye na baba, Na kutwaa rehani kwa maskini;


Nilikuwa nimelala, lakini moyo wangu uko macho, Sikiliza! Mpendwa wangu anabisha! Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, Hua wangu, mkamilifu wangu, Kwa maana kichwa changu kimelowa umande, Nywele zangu zina manyunyu ya usiku.


Wale waliokula vitu vya anasa Wameachwa peke yao njiani; Wale waliokuzwa kuvaa nguo nyekundu Wakumbatia jaa.


(watu ambao ulimwengu haukustahili kuwa nao), walikuwa wakizungukazunguka katika nyika na katika milima na katika mapango na katika mashimo ya nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo