Yobu 24:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Hukata nafaka zao mashambani; Na kuokota zabibu za waovu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Maskini wanalazimika kuokota mabaki ya mavuno mashambani, wanaokota katika mashamba ya mizabibu ya waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Maskini wanalazimika kuokota mabaki ya mavuno mashambani, wanaokota katika mashamba ya mizabibu ya waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Maskini wanalazimika kuokota mabaki ya mavuno mashambani, wanaokota katika mashamba ya mizabibu ya waovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Hukusanya chakula mashambani na kuokota masazo katika mashamba ya mizabibu ya waovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Hukusanya chakula mashambani na kuokota masazo katika mashamba ya mizabibu ya waovu. Tazama sura |