Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 24:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Hukata nafaka zao mashambani; Na kuokota zabibu za waovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Maskini wanalazimika kuokota mabaki ya mavuno mashambani, wanaokota katika mashamba ya mizabibu ya waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Maskini wanalazimika kuokota mabaki ya mavuno mashambani, wanaokota katika mashamba ya mizabibu ya waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Maskini wanalazimika kuokota mabaki ya mavuno mashambani, wanaokota katika mashamba ya mizabibu ya waovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Hukusanya chakula mashambani na kuokota masazo katika mashamba ya mizabibu ya waovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Hukusanya chakula mashambani na kuokota masazo katika mashamba ya mizabibu ya waovu.

Tazama sura Nakili




Yobu 24:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwasema, Yeye ni mwepesi juu ya uso wa gharika; Sehemu yao inalaaniwa duniani; Hageuki kwenda njia ya mizabibuni.


Tazama, kama punda mwitu jangwani Wao hutoka kwenda kazini mwao, wakitafuta chakula kwa bidii; Jangwa huwapa chakula cha watoto wao.


Hujilaza usiku kucha uchi bila nguo, Wala hawana cha kujifunika baridi.


Kama nimeyala matunda yake pasipo kulipa, Au kama nimewafanya wenyewe kupotewa na uhai;


Utapanda, lakini hutavuna; utazikanyaga zeituni, lakini hutajipaka mafuta; na hizo zabibu, lakini hutakunywa divai.


Matunda ya nchi yako, na taabu yako yote, vitaliwa na taifa usilolijua; utaonewa tu, na kupondwa chini daima;


naye atakula uzao wa ng'ombe wako wa mifugo, na uzao wa nchi yako mpaka utakapokwisha kuangamizwa; wala hatakuachia nafaka, wala divai, wala mafuta, wala kuongezeka kwa ng'ombe wako, wala wana-kondoo wako, hata atakapokwisha kukuangamiza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo