Yobu 24:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Wao hutoboa nyumba gizani; Hujifungia ndani wakati wa mchana; Hawaujui mwanga. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Usiku wezi huvunja nyumba, lakini mchana hujifungia ndani; wala hawajui kabisa mwanga ni nini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Usiku wezi huvunja nyumba, lakini mchana hujifungia ndani; wala hawajui kabisa mwanga ni nini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Usiku wezi huvunja nyumba, lakini mchana hujifungia ndani; wala hawajui kabisa mwanga ni nini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Katika giza, huvunja nyumba, lakini wakati wa mchana hujifungia ndani; hawataki kufanya lolote nuruni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Katika giza, huvunja majumba, lakini wakati wa mchana hujifungia ndani; hawataki kufanya lolote nuruni. Tazama sura |