Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 23:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Maana sikufadhaishwa kwa sababu ya giza, Wala kwa sababu giza kuu limenifunika uso.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Maana nimekumbwa na giza, na giza nene limetanda usoni mwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Maana nimekumbwa na giza, na giza nene limetanda usoni mwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Maana nimekumbwa na giza, na giza nene limetanda usoni mwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Hata hivyo sijanyamazishwa na giza, wala kwa giza nene linalofunika uso wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Hata hivyo sijanyamazishwa na giza, wala kwa giza nene linalofunika uso wangu.

Tazama sura Nakili




Yobu 23:17
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo tazama, nitakukusanya pamoja na baba zako, nawe utawekwa kaburini mwako kwa amani; wala macho yako hayatauona uovu huo wote nitakaouleta juu ya mahali hapa. Basi wakamletea mfalme habari tena.


Kwa nini basi kunitoa tumboni? Ningekata roho, lisinione jicho lolote.


Ningalikuwa kama mtu asiyekuwapo; Ningalichukuliwa kaburini kutoka tumboni.


Yeye hasadiki kwamba atarudi kutoka gizani, Naye hungojewa na upanga;


Atakimbizwa kutoka mwangani hata gizani, Na kufukuzwa atoke duniani.


Mwanga hemani mwake utakuwa giza, Nayo taa iliyo juu yake itazimwa.


Yeye ameiziba njia yangu nisipate kupita, Na kutia giza katika mapito yangu.


Au je! Huoni giza, Na maji mengi yanayokufunika?


Kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda; Kwamba angeulegeza mkono wake na kunikatilia mbali!


Mwenye haki hupotea, wala hakuna atiaye hayo moyoni; na watu watauwa huondolewa, wala hakuna afikiriye ya kuwa mwenye haki ameondolewa asipatikane na mabaya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo