Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 23:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Sikurudi nyuma kuiacha amri ya midomo yake; Nimeyatunza maneno ya kinywa chake zaidi ya riziki yangu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kamwe sijaacha kushika amri yake, maneno yake nimeyatunza moyoni mwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kamwe sijaacha kushika amri yake, maneno yake nimeyatunza moyoni mwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kamwe sijaacha kushika amri yake, maneno yake nimeyatunza moyoni mwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Sijaziacha amri zilizotoka mdomoni mwake; nimeyathamini maneno ya kinywa chake kuliko chakula changu cha kila siku.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Sijaziacha amri zilizotoka midomoni mwake; nimeyathamini maneno ya kinywa chake kuliko chakula changu cha kila siku.

Tazama sura Nakili




Yobu 23:12
22 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Utulivu wa Mungu ni mdogo sana kwako, Maliwazo ya Mungu ni madogo sana kwako?


Uyapokee, tafadhali, mafunzo yatokayo kinywani mwake, Na maneno yake yaweke moyoni mwako.


Lakini yeye ni mmoja, ni nani awezaye kumgeuza? Tena nafsi yake ilitakalo, ndilo afanyalo.


Mimi ni safi, sina makosa; Sina hatia, wala hapana uovu ndani yangu;


Hapo ndipo ningefarijika hata sasa; Naam, ningejikuza katika maumivu yasiyoniacha; Kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.


Mausia yako ni matamu sana kwangu, Kupita asali kinywani mwangu.


Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi.


Ndiyo maana nimeyapenda maagizo yako, Kuliko dhahabu, naam, dhahabu iliyo safi.


Shauri la BWANA lasimama milele, Makusudi ya moyo wake vizazi na vizazi.


Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.


Maneno yako yalionekana, nami nikayala; na maneno yako yalikuwa ni furaha kwangu, na shangwe ya moyo wangu; maana nimeitwa kwa jina lako, Ee BWANA, Mungu wa majeshi.


Bwana akasema, Ni nani, basi, aliye wakili mwaminifu, mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya utumishi wake wote, awape watu posho kwa wakati wake?


bwana wake mtumwa huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyojua, atamkata vipande viwili, na kumwekea fungu lake pamoja na wasioamini.


Akawaambia, Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.


Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenituma, nikaimalize kazi yake.


Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli;


wakifanya imara roho za wanafunzi na kuwahimiza wakae katika ile Imani, na ya kwamba imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya dhiki nyingi.


Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu;


Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo