Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 22:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Umewafukuza wanawake wajane bila chochote, Na mikono ya mayatima imevunjwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Umewaacha wajane waende mikono mitupu; umewanyima yatima uwezo wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Umewaacha wajane waende mikono mitupu; umewanyima yatima uwezo wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Umewaacha wajane waende mikono mitupu; umewanyima yatima uwezo wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Umewafukuza wajane mikono mitupu na kuzivunja nguvu za yatima.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Umewafukuza wajane mikono mitupu na kuzivunja nguvu za yatima.

Tazama sura Nakili




Yobu 22:9
20 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, yeye huwala walio tasa wasiozaa; Wala hamtendei mema mwanamke mjane.


Huwanyang'anya yatima punda wao, Humtwaa rehani ng'ombe wake mwanamke mjane.


Ikiwa nimewainulia mayatima mkono, Nilipoona msaada wangu langoni;


Naam, mwapenda kuwapigia kura hao mayatima, Na kufanya biashara ya rafiki yenu.


Uuvunje mkono wa mdhalimu, Na mwovu, uipatilize dhuluma yake, hadi usiione.


Maana mikono ya wasio haki itavunjika, Bali BWANA huwategemeza wenye haki.


Wanamwua mjane na mgeni; Wanawaua yatima.


jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.


Wakuu wako ni waasi, na rafiki za wezi; kila mtu hupenda rushwa, hufuata malipo; hawampatii yatima haki yake, wala maneno ya mjane hayawafikii.


ili kumpotosha mhitaji asipate haki yake, na kuwanyang'anya maskini wa watu wangu haki yao; ili wajane wawe mateka yao, na kuwafanya yatima waliofiwa na baba zao kuwa mawindo yao!


Pembe ya Moabu imekatika, na mkono wake umevunjika, asema BWANA. Mlevyeni; kwa maana alijitukuza juu ya BWANA


Ndani yako wamedharau baba na mama; kati yako wamewatenda wageni udhalimu; ndani yako wamewaonea yatima na mjane.


Basi Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu ya Farao, mfalme wa Misri, nami nitamvunja mikono yake, mkono ulio wenye nguvu, na huo uliovunjika, nami nitauangusha upanga ulio katika mkono wake.


Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami sitasita kutoa ushahidi juu ya wachawi; na juu ya wazinzi, na juu ya waapao kwa uongo; juu ya wamwoneao mwajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.


[Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnakula nyumba za wajane, na kwa unafiki mnasali sala ndefu; kwa hiyo mtapata hukumu iliyo kubwa zaidi.]


Na alaaniwe apotoaye hukumu ya mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe. Na watu wote waseme, Amina.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo