Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 22:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Hukumpa maji ya kunywa huyo aliyechoka, Nawe umemnyima chakula huyo mwenye njaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Umewanyima maji wale waliokuwa wamechoka; umewanyima chakula wale walio na njaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Umewanyima maji wale waliokuwa wamechoka; umewanyima chakula wale walio na njaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Umewanyima maji wale waliokuwa wamechoka; umewanyima chakula wale walio na njaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Hukumpa maji aliyechoka, nawe ulimnyima chakula mwenye njaa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Hukumpa maji aliyechoka, nawe ulimnyima chakula mwenye njaa,

Tazama sura Nakili




Yobu 22:7
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa nimewanyima maskini haja zao, Au kama nimeyatia kiwi macho ya mwanamke mjane;


Au kama nimekula tonge langu peke yangu, Mayatima wasipate kulila;


Kama watu wa hemani mwangu hawakunena, Ni nani awezaye kumpata mtu asiyeshibishwa na yeye kwa nyama?


Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Amhurumiaye maskini humkopesha BWANA; Naye atamlipa kwa tendo lake jema.


na kama ukimpa mtu mwenye njaa chakula chako, na kuishibisha nafsi iliyoteswa; ndipo nuru yako itakapopambazuka gizani; na kiwi chako kitakuwa kama adhuhuri.


Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usikose kumsaidia mtu aliye jamaa yako.


wala hakumdhulumu mtu, wala hakutwaa kitu kiwekwe rehani, wala hakumnyang'anya mtu mali yake kwa nguvu, bali amewapa wenye njaa chakula chake, na kuwafunika nguo walio uchi;


wala hakumdhulumu mtu, bali amemrudishia mdeni wake rehani yake, wala hakumnyang'anya mtu mali yake kwa nguvu, naye amewapa wenye njaa chakula chake, na kuwavika nguo walio uchi;


kwa maana nilikuwa na njaa, msinipe chakula; nilikuwa na kiu, msininyweshe;


Lakini, Adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe; maana ufanyapo hivyo, utampalia makaa ya moto kichwani pake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo