Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 22:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Atamwokoa na huyo asiye na hatia; Naam, utaokolewa kwa sababu ya usafi wa mikono yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Yeye humwokoa mtu asiye na hatia; wewe utaokolewa kwa matendo yako mema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Yeye humwokoa mtu asiye na hatia; wewe utaokolewa kwa matendo yako mema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Yeye humwokoa mtu asiye na hatia; wewe utaokolewa kwa matendo yako mema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Atamwokoa hata yule ambaye ana hatia, ataokolewa kwa sababu ya usafi wa mikono yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Atamwokoa hata yule ambaye ana hatia, ataokolewa kwa sababu ya usafi wa mikono yako.”

Tazama sura Nakili




Yobu 22:30
17 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mwenye haki ataishika njia yake, Naye mwenye mikono safi atazidi kupata nguvu.


Ndipo Ayubu akajibu, na kusema,


Basi Elifazi, Mtemani, na Bildadi, Mshuhi, na Sofari, Mnaamathi, wakaenda, wakafanya kama vile BWANA alivyowaamuru; naye BWANA akamridhia Ayubu.


BWANA alinitendea sawasawa na haki yangu, Sawasawa na usafi wa mikono yangu akanilipa.


Ni nani atakayepanda katika mlima wa BWANA? Ni nani atakayesimama katika patakatifu pake?


Mtu aliye na mikono safi na moyo mweupe, Asiyeiweka nafsi yake katika uongo, Wala hakuapa kwa hila.


Nanyi mkunjuapo mikono yenu, nitaficha macho yangu nisiwaone; naam, mwombapo maombi mengi, sitasikia; mikono yenu imejaa damu.


Na watu wako watapajenga mahali palipokuwa ukiwa; utaiinua misingi ya vizazi vingi; nawe utaitwa, Mwenye kutengeneza mahali palipobomoka; na, Mwenye kurejesha njia za kukaa.


Pigeni mbio huku na huku katika njia za Yerusalemu, mkaone sasa, na kujua, na kutafuta katika viwanja vyake, kwamba mwaweza kumpata mtu mmoja, kwamba yuko mtu mmoja awaye yote atendaye kwa haki, atafutaye uaminifu; nami nitausamehe mji huo.


Na sasa, nawasihi, ombeni fadhili za Mungu, ili atupe neema; ikiwa jambo hili limetoka katika mikono yenu; Je, Atawakubali nafsi zenu? Asema BWANA wa majeshi.


akaniambia, Usiogope, Paulo, huna budi kusimama mbele ya Kaisari; tena, tazama, Mungu amekupa watu wote wanaosafiri pamoja nawe.


Basi, nataka wanaume waombe kila mahali, huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo