Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 22:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Nawe utakusudia neno, nalo litathibitika kwako; Na mwanga utaziangazia njia zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Chochote utakachoamua kitafanikiwa, na mwanga utaziangazia njia zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Chochote utakachoamua kitafanikiwa, na mwanga utaziangazia njia zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Chochote utakachoamua kitafanikiwa, na mwanga utaziangazia njia zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Utakusudia jambo nalo litatendeka, nao mwanga utaangazia njia zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Utakusudia jambo nalo litatendeka, nao mwanga utaangazia njia zako.

Tazama sura Nakili




Yobu 22:28
15 Marejeleo ya Msalaba  

Na maisha yako yatakuwa meupe kuliko adhuhuri; Giza lake litakuwa kama alfajiri.


Hapo taa yake ilipomulika juu yangu kichwani, Nami nilitembea gizani kwa njia ya mwanga wake;


Yeye ameikomboa nafsi yangu isiende shimoni, Na uhai wangu utautazama mwanga.


Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa.


Nuru huwaangaza wenye adili gizani; Ana fadhili na huruma na haki.


Akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako, Na kukutimizia mipango yako yote.


Na fadhili za BWANA, Mungu wetu, ziwe juu yetu, Na kazi ya mikono yetu uifanye thabiti, Naam, kazi ya mikono yetu uifanikishe.


Nuru humwangazia mwenye haki, Na furaha ni kwa wanyofu wa moyo.


Bali njia ya wenye haki ni kama nuru ing'aayo, Ikizidi kung'aa hata mchana mkamilifu.


na masikio yako yatasikia neno nyuma yako, likisema, Njia ni hii, ifuateni; mgeukapo kwenda mkono wa kulia, na mgeukapo kwenda mkono wa kushoto.


Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza?


Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu, jua la haki litawachomozea, likiwa na uwezo wa kuponya katika miale yake; nanyi mtatoka nje, na kuchezacheza kama ndama watokapo mazizini.


Na yoyote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea.


Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.


Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo