Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 22:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Wasema, Hakika hao waliotuinukia wamekatiliwa mbali, Na mabaki yao moto umeyateketeza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Wanasema ama kweli maadui zetu wameangamizwa, na walichobakiza kimeteketezwa kwa moto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Wanasema ama kweli maadui zetu wameangamizwa, na walichobakiza kimeteketezwa kwa moto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Wanasema ama kweli maadui zetu wameangamizwa, na walichobakiza kimeteketezwa kwa moto.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 ‘Hakika adui zetu wameangamizwa, nao moto umeteketeza mali yao.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 ‘Hakika adui zetu wameangamizwa, nao moto umeteketeza mali zao.’

Tazama sura Nakili




Yobu 22:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo BWANA akanyesha juu ya Sodoma na juu ya Gomora kiberiti na moto kutoka mbinguni kwa BWANA.


Hakutufanya kama wageni, maana ametuuza, naye amekula fedha zetu kabisa?


Huyo alipokuwa angali akinena, akatokea na mwingine, na kusema, Moto wa Mungu umeanguka kutoka mbinguni na kuwateketeza kondoo, na wale watumishi, na kuwaangamiza; mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.


Hataondoka gizani; Ndimi za moto zitayakausha matawi yake, Naye ataondoka kwa pumzi za kinywa chake.


Giza lote linawekwa kwa ajili ya hazina zake; Moto ambao haukuvuviwa na mtu utamla; Utayateketeza yaliyosalia hemani mwake.


Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu itokayo kwa Mungu, Na urithi aliowekewa na Mungu.


Kumbuka, tafadhali, ni nani aliyeangamia akiwa hana hatia? Au ni wapi hao waelekevu walikatiliwa mbali?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo