Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 22:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Nawe wasema, Mungu anajua nini? Je! Aweza kuamua kati ya giza kuu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Lakini wewe wasema: ‘Mungu ajua nini? Je, aweza kupenya mawingu akatoa hukumu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Lakini wewe wasema: ‘Mungu ajua nini? Je, aweza kupenya mawingu akatoa hukumu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Lakini wewe wasema: ‘Mungu ajua nini? Je, aweza kupenya mawingu akatoa hukumu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Hivyo wewe wasema, ‘Mungu anajua nini?’ Je, yeye huhukumu katika giza kama hilo?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Hivyo wewe wasema, ‘Mungu anajua nini?’ Je, yeye huhukumu katika giza kama hilo?

Tazama sura Nakili




Yobu 22:13
15 Marejeleo ya Msalaba  

Hapana hofu ya giza kuu, mahali wawezapo kujificha watendao udhalimu.


Asema moyoni mwake, Mungu amesahau, Auficha uso wake, haoni kamwe.


Kama nikisema, Hakika giza litanifunika, Na nuru inizungukayo ingekuwa usiku;


Niende wapi nijiepushe na roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako?


Tazama, kwa vinywa vyao huteuka, Midomoni mwao mna panga, Kwa maana ni nani asikiaye?


Walijifanya hodari katika jambo baya; Hushauriana juu ya kutega mitego; Wakisema, Ni nani atakayeiona?


Nao husema, Mungu ajuaje? Yako maarifa kwake aliye juu?


Ole wao wanaojitahidi kumficha BWANA mashauri yao, na matendo yao yamo gizani, nao husema, Ni nani atuonaye? Nani atujuaye?


Je, mtu yeyote aweza kujificha mahali pa siri, nisimwone? Asema BWANA. Je! Mbingu na nchi hazikujawa nami? Asema BWANA.


Kisha akaniambia, Mwanadamu, umeyaona wanayotenda wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mtu ndani ya vyumba vyake vya sanamu? Maana husema, BWANA hatuoni; BWANA ameiacha nchi hii.


Ndipo akaniambia, Uovu wa nyumba ya Israeli na Yuda ni mwingi sana, nayo nchi imejaa damu, nao mji umejaa kupotosha hukumu; maana husema, BWANA ameiacha nchi hii, naye BWANA haoni.


Wajapochimba waingie katika kuzimu, mkono wangu utawatoa huko; nao wajapopanda hata mbinguni, nitawateremsha toka huko.


Nao wajapojificha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta na kuwatoa toka huko; na wajapositirika katika vilindi vya bahari nisiwaone, nitamwagiza joka huko, naye atawauma.


Kisha itakuwa wakati ule, nitauchunguza Yerusalemu kwa taa; nami nitawaadhibu watu walioganda juu ya masira yao; wasemao katika mioyo yao, BWANA hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo