Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 21:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Mbona waovu wanaishi, Na kuwa wazee, naam, na kuongezeka kuwa na nguvu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Kwa nini basi waovu wanaishi bado? Mbona nguvu zao zaongezeka hata uzeeni?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Kwa nini basi waovu wanaishi bado? Mbona nguvu zao zaongezeka hata uzeeni?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Kwa nini basi waovu wanaishi bado? Mbona nguvu zao zaongezeka hata uzeeni?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wakifikia umri wa uzee na kuendelea kuwa na nguvu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wakifikia umri wa uzee na kuendelea kuwa na nguvu?

Tazama sura Nakili




Yobu 21:7
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye huwaondoa makuhani wakiwa wamevuliwa nguo. Na kuwapindua mashujaa.


Hema za wanyang'anyi hufanikiwa, Na hao wamkasirishao Mungu hukaa salama; Mikononi mwao Mungu huleta vitu vingi.


Dunia imetiwa mkononi mwa waovu; Yeye hufunika nyuso za waamuzi wake; Kama si yeye, ni nani basi?


Wamejawa na ukaidi, Kwa vinywa vyao wanajigamba.


Nimemwona mtu asiye haki mkali sana, Akijieneza kama mwerezi wa Lebanoni.


Mambo hayo yote nimeyaona mimi katika siku za ubatili wangu, yuko mwenye haki apoteaye katika haki yake, yuko na mtu mwovu azidishaye maisha yake katika udhalimu wake.


Kuna ubatili unaofanyika juu ya nchi, kwamba wako wenye haki nao wapatilizwa kama kwa kazi yao waovu; tena wako waovu, nao wapatilizwa kama kwa kazi yao wenye haki. Nami nikasema ya kuwa hayo nayo ni ubatili.


Hukumu hii imekuja kwa agizo la walinzi, na amri hii kwa neno la watakatifu; kusudi walio hai wapate kujua ya kuwa Aliye Juu anatawala katika ufalme wa wanadamu, naye humpa amtakaye, tena humtawaza juu yake aliye mnyonge.


Wewe uliye na macho safi hata usiweze kuangalia uovu, wewe usiyeweza kutazama ukaidi, mbona unawaangalia watendao kwa hila; na kunyamaza kimya, hapo mtu mwovu ammezapo mtu aliye mwenye haki kuliko yeye;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo