Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 21:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Niangalieni, mkastaajabu, Mkaweke mkono kinywani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Niangalieni, nanyi mshangae, fumbeni mdomo kwa mkono.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Niangalieni, nanyi mshangae, fumbeni mdomo kwa mkono.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Niangalieni, nanyi mshangae, fumbeni mdomo kwa mkono.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Niangalieni mkastaajabu; mkaweke mkono juu ya vinywa vyenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Niangalieni mkastaajabu; mkaweke mkono juu ya vinywa vyenu.

Tazama sura Nakili




Yobu 21:5
13 Marejeleo ya Msalaba  

Laiti mngenyamaza kabisa! Hilo lingekuwa hekima kwenu.


Walekevu watayastaajabia hayo, Na asiye na hatia atajiamsha juu ya mpotovu.


Basi walipoinua macho yao, wakiwa bado kwa mbali, wasimtambue, wakainua sauti zao na kulia; kila mmoja akararua joho lake, wakarusha mavumbi juu ya vichwa vyao kuelekea mbinguni.


Wakuu wakanyamaa wasinene, Na kuweka mikono yao vinywani mwao;


Tazama, mimi si kitu kabisa, nikujibu nini? Naweka mkono wangu kinywani pangu.


Nimenyamaza, sifumbui kinywa changu, Maana Wewe ndiwe uliyeyafanya.


Ikiwa umefanya kipumbavu kwa kujikuza; Au ikiwa umewaza mabaya; Basi weka mkono wako juu ya kinywa chako.


ndivyo atakavyowastusha mataifa mengi; wafalme watamfumbia vinywa vyao; maana mambo wasiyoambiwa watayaona; na mambo wasiyoyasikia watayafahamu.


Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.


Mataifa wataona, na kuziaibikia nguvu zao zote; wataweka mikono yao juu ya vinywa vyao, masikio yao yatakuwa na uziwi.


Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazieleweki!


Wao wakamwambia, Nyamaza wewe, weka mkono wako kinywani mwako, uende pamoja nasi, uwe kwetu baba, tena kuhani; je! Ni vema kwako kuwa kuhani kwa ajili ya nyumba ya mtu mmoja, au kuwa kuhani kwa ajili ya kabila na jamaa katika Israeli?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo