Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 21:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

34 Basi imekuwaje ninyi kunituliza moyo kwa utupu mtupu, Kwa kuwa katika majibu yenu unasalia uongo tu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Mtawezaje basi, kunifariji kwa maneno matupu? majibu yenu hayana chochote ila uongo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Mtawezaje basi, kunifariji kwa maneno matupu? majibu yenu hayana chochote ila uongo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Mtawezaje basi, kunifariji kwa maneno matupu? majibu yenu hayana chochote ila uongo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 “Hivyo ninyi mnawezaje kunifariji kwa upuzi wenu? Hakuna kilichosalia cha majibu yenu isipokuwa uongo!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 “Hivyo ninyi mnawezaje kunifariji kwa upuzi wenu? Hakuna kilichosalia cha majibu yenu isipokuwa uongo!”

Tazama sura Nakili




Yobu 21:34
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno yenu ya hekima ni mithali ya majivu, Ngome zenu ni ngome za udongo.


Lakini ninyi hubuni maneno ya uongo, Ninyi nyote ni matabibu wasiofaa.


Nimesikia maneno mengi mfano wa hayo; Ninyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha.


Ndipo huyo Elifazi Mtemani akajibu, na kusema,


Tena hasira zake ziliwaka juu ya hao rafiki zake watatu kwa sababu hawakupata jawabu, lakini wamemhukumia Ayubu makosa.


Basi ikawa, baada ya BWANA kumwambia Ayubu maneno hayo, BWANA akamwambia huyo Elifazi Mtemani, Hasira zangu zinawaka juu yako, na juu ya hao rafiki zako wawili; kwa kuwa ninyi hamkunena yaliyo sawa katika habari zangu, kama alivyonena mtumishi wangu Ayubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo