Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 21:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Ni nani atakayetangaza njia yake usoni pake? Tena ni nani atakayemlipa kwa hayo aliyofanya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Ni nani atakayemshutumu mtu mwovu, au atakayemlipa kwa yote aliyotenda?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Ni nani atakayemshutumu mtu mwovu, au atakayemlipa kwa yote aliyotenda?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Ni nani atakayemshutumu mtu mwovu, au atakayemlipa kwa yote aliyotenda?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Ni nani hulaumu matendo yake mbele ya uso wake? Ni nani ampatilizaye kwa yale aliyoyatenda?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Ni nani hulaumu matendo yake mbele ya uso wake? Ni nani ampatilizaye kwa yale aliyoyatenda?

Tazama sura Nakili




Yobu 21:31
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mwasema, Mungu huwawekea watoto wa mtu huo uovu wake. Na amlipe mwenyewe, ili apate kuujua.


Kwamba mwovu huachiliwa katika siku ya msiba? Na kuongozwa nje katika siku ya ghadhabu?


Pamoja na hayo atachukuliwa kaburini, Nao watalinda zamu juu ya kaburi lake.


Ni nani aliyetangulia kunipa hata nimlipe? Kila kilicho chini ya mbingu nzima ni changu.


Ndivyo ulivyofanya, nami nikanyamaza; Ukadhani ya kuwa Mimi ni kama wewe. Lakini nitakukemea; Nitakuhukumu kwa hayo yote.


katika kukosa na kumkana BWANA, na katika kugeuka tusimfuate Mungu wetu, tukinena udhalimu na uasi, na kukusudia maneno ya uongo na kuyatoa moyoni.


kwa sababu Yohana alimwambia Herode, Si halali kwako kuwa na mke wa nduguyo.


Na Paulo alipokuwa akitoa hoja zake kuhusu haki, na kuwa na kiasi, na hukumu itakayokuja, Feliki akaingiwa na hofu na kusema, Sasa nenda zako, nami nikipata nafasi nitakuita.


Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.


Lakini Kefa alipokuja Antiokia, nilishindana naye uso kwa uso, kwa sababu alistahili hukumu.


naye huwalipa wamchukiao mbele ya uso wao, kuwaangamiza. Hatakuwa mlegevu kwake yeye amchukiaye, atamlipa mbele ya uso wake.


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo