Yobu 21:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Kwa kuwa mwasema, Nyumba ya huyo mkuu i wapi? Na hema waliyoikaa hao waovu iko wapi? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Eti mwauliza, ‘Iko wapi nyumba ya mkuu? Iko wapi nyumba alimoishi mwovu?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Eti mwauliza, ‘Iko wapi nyumba ya mkuu? Iko wapi nyumba alimoishi mwovu?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Eti mwauliza, ‘Iko wapi nyumba ya mkuu? Iko wapi nyumba alimoishi mwovu?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Mwasema, ‘Iko wapi sasa nyumba ya huyo mtu mkuu, mahema ambayo watu waovu walikaa?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Mwasema, ‘Iko wapi sasa nyumba ya huyo mtu mkuu, mahema ambayo watu waovu walikaa?’ Tazama sura |