Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 21:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Wao hulala mavumbini sawasawa, Mabuu huwafunika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Hata hivyo, wote hufa na kuzikwa, wote hufunikwa na mabuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Hata hivyo, wote hufa na kuzikwa, wote hufunikwa na mabuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Hata hivyo, wote hufa na kuzikwa, wote hufunikwa na mabuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Hao wote hulala mavumbini, nao mabuu huwafunika wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Hao wote hulala mavumbini, nao mabuu huwafunika wote.

Tazama sura Nakili




Yobu 21:26
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa nimeuita uharibifu, Wewe u baba yangu; Na kuliambia buu, Wewe u mama yangu, na dada yangu;


Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;


Mifupa yake imejaa ujana wake, Lakini utalala nchi naye mavumbini.


Mwingine hufa katika uchungu wa roho, Asionje mema kamwe.


Tazama, nayajua mawazo yenu, Na mipango miovu mnayoazimia kufanya juu yangu.


Tumbo lililomzaa litamsahau; buu litamla na kuona tamu; Hatakumbukwa tena; Na udhalimu utavunjwa kama mti.


Maana hapo ningelala na kutulia; Ningelala usingizi; na kupata kupumzika;


Kama kondoo wamewekwa kwenda kuzimu, Na kifo kitakuwa mchungaji wao; Watu wanyofu watawamiliki asubuhi; Miili yao itaoza, kao lao ni kuzimu.


Mambo yote yawatukia wote sawasawa; kuna tukio moja kwake mwenye haki na kwake asiye haki; kwa mtu mwema na kwa mtu mwovu; kwa mtu aliye safi na kwa mtu asiye safi; kwake yeye atoaye kafara na kwake asiyetoa kafara; kama alivyo huyo mwema ndivyo alivyo mwenye dhambi; yeye aapaye na yeye aogopaye kiapo.


Baa hilo ni katika mambo yote yanayofanyika chini ya jua, ya kuwa wote wanalo tukio moja; naam, zaidi ya hayo, mioyo ya wanadamu imejaa maovu, na wazimu umo mioyoni mwao wakati walipo hai, na baadaye huenda kwa wafu.


Fahari yako imeshushwa hadi kuzimu, Na sauti ya vinanda vyako; Funza wametandazwa chini yako, Na vidudu vinakufunika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo