Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 21:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Mwingine hufa katika uchungu wa roho, Asionje mema kamwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Mwingine hufa na huzuni kubwa moyoni, akiwa hajawahi kuonja lolote jema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Mwingine hufa na huzuni kubwa moyoni, akiwa hajawahi kuonja lolote jema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Mwingine hufa na huzuni kubwa moyoni, akiwa hajawahi kuonja lolote jema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Mtu mwingine hufa katika uchungu wa nafsi, akiwa hajafurahia kamwe jambo lolote zuri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Mtu mwingine hufa katika uchungu wa nafsi, akiwa hajafurahia kamwe jambo lolote zuri.

Tazama sura Nakili




Yobu 21:25
14 Marejeleo ya Msalaba  

Hushai akaendelea kusema, Unamjua baba yako na watu wake, ya kuwa ni watu mashujaa hawa, nao wana uchungu katika mioyo yao, kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake nyikani; tena baba yako ni mtu wa vita, hatalala pamoja na watu wake.


Naye akasema, Kama BWANA, Mungu wako, aishivyo, sina mkate, ila konzi ya unga katika pipa, na mafuta kidogo katika chupa; nami ninaokota kuni mbili ili niingie nijipikie mwenyewe na mwanangu, tule kisha tufe.


Nayachukia maisha yangu; Nitayasema malalamiko yangu wazi; Nitanena kwa uchungu wa roho yangu.


Hapo atakapo kulijaza tumbo lake, Mungu atamtupia ukali wa ghadhabu zake, Na kuunyesha juu yake akiwa anakula.


Vyombo vyake vimejaa maziwa, Na mafuta ya mifupani mwake ni laini.


Wao hulala mavumbini sawasawa, Mabuu huwafunika.


Mbona yeye aliye mashakani kupewa mwanga, Na hao wenye uchungu rohoni kupewa uhai;


Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitanena kwa mateso ya roho yangu; Nitalia kwa uchungu wa nafsi yangu.


Haniachi nipate kuvuta pumzi, Lakini hunijaza uchungu.


Moyo huujua uchungu wa nafsi yake, Wala mgeni haishiriki furaha yake.


mtu aliyepewa na Mungu mali, ukwasi, na heshima, hata asipungukiwe na kitu chochote kwa nafsi yake, katika yote anayoyatamani lakini Mungu hamwezeshi kula katika hizo; bali mgeni hula. Hayo ndiyo ubatili hasa, nayo ni ugonjwa mbaya.


Mwanadamu, ule chakula chako kwa mtetemo, ukanywe maji yako kwa kutetemeka na kwa kuyatunza sana;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo