Yobu 20:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Hata hivyo ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe; Hao waliomwona watasema, Yuko wapi? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 lakini atatupiliwa mbali kama mavi yake. Waliopata kumjua watajiuliza: ‘Yuko wapi?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 lakini atatupiliwa mbali kama mavi yake. Waliopata kumjua watajiuliza: ‘Yuko wapi?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 lakini atatupiliwa mbali kama mavi yake. Waliopata kumjua watajiuliza: ‘Yuko wapi?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe. Wale waliomwona watauliza, ‘Yuko wapi?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe. Wale waliomwona watauliza, ‘Yuko wapi?’ Tazama sura |