Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 20:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Ya kuwa shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo, Na furaha ya wapotovu ni ya dakika moja tu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 mwovu atajiona ameshinda kwa muda tu, furaha yake asiyemcha Mungu ni ya muda mfupi tu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 mwovu atajiona ameshinda kwa muda tu, furaha yake asiyemcha Mungu ni ya muda mfupi tu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 mwovu atajiona ameshinda kwa muda tu, furaha yake asiyemcha Mungu ni ya muda mfupi tu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 macheko ya mtu mwovu ni ya muda mfupi, nayo furaha ya wasiomcha Mungu hudumu kwa kitambo tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 macheko ya mtu mwovu ni ya muda mfupi, nayo furaha ya wasiomcha Mungu hudumu kwa kitambo tu.

Tazama sura Nakili




Yobu 20:5
25 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Yoabu akasema, Siwezi kungoja na kusema nawe hivi. Akachukua mikuki mitatu midogo mkononi mwake, akamchoma Absalomu moyoni, alipokuwa bado hai katikati ya ule mwaloni.


Kisha vijana kumi, waliomchukulia Yoabu silaha zake wakamzunguka, wakampiga Absalomu, na kumwua.


Basi wakamtundika Hamani juu ya mti aliomwekea tayari Mordekai. Ghadhabu ya mfalme ikatulia.


Kwa kuwa mwasema, Nyumba ya huyo mkuu i wapi? Na hema waliyoikaa hao waovu iko wapi?


Maana tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake?


Ili huyo mpotovu asitawale, Wala pasiwe na wa kuwatega watu.


Nimewaona wapumbavu wakishusha mizizi; Lakini mara niliyalaani maskani yake.


Tazama, furaha ya njia yake ni hii, Na wengine watachipuka kutoka katika nchi.


Maana bado kitambo kidogo asiye haki hatakuwapo, Utapaangalia mahali pake wala hatakuwapo.


BWANA, hadi lini wasio haki, Hadi lini wasio haki watashangilia?


Je! Wote watendao uovu watatoa maneno, Na kusema majivuno, na kufanya kiburi?


Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.


Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu, wala si kwa mwenzake.


Lakini sasa mwajisifu katika majivuno yenu; kujisifu kote kwa namna hii ni kubaya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo