Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 2:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Naye akashika kigae cha kujikunia; akaketi majivuni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Yobu akatwaa kigae, akajikuna nacho na kuketi kwenye majivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Yobu akatwaa kigae, akajikuna nacho na kuketi kwenye majivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Yobu akatwaa kigae, akajikuna nacho na kuketi kwenye majivu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ndipo Ayubu akachukua kigae na kujikuna nacho, huku akiketi kwenye majivu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ndipo Ayubu akachukua kigae na kujikuna nacho huku akiketi kwenye majivu.

Tazama sura Nakili




Yobu 2:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Tamari akatia majivu kichwani mwake, akairarua hiyo kanzu ndefu yake aliyoivaa, akaweka mkono kichwani akaenda zake huku akilia kwa sauti.


Basi Mordekai alipojua mambo yote yaliyofanyika, alizirarua nguo zake, akajivika gunia na kujipaka majivu, akatoka hadi katikati ya mji, akalia kwa sauti kuu ya uchungu.


Na katika kila mkoa, ambako amri ya mfalme na mbiu yake imewasili, palikuwako msiba mkuu kwa Wayahudi, na kufunga, na kulia, na kuomboleza; hata na wengi wakalala juu ya gunia na majivu.


Ndipo mkewe akamwambia, Je! Wewe hata sasa washikamana na utimilifu wako? Mkufuru Mungu, ufe.


Kwa sababu hiyo najichukia nafsi yangu, na kutubu Katika mavumbi na majivu.


Majeraha yangu yananuka na kutunga usaha, Kwa sababu ya upumbavu wangu.


Maana viuno vyangu vimejaa homa, Wala hamna uzima katika mwili wangu.


kuwaagizia hao waliao katika Sayuni, wapewe taji la maua badala ya majivu, mafuta ya furaha badala ya maombolezo, vazi la sifa badala ya roho nzito; wapate kuitwa miti ya haki, iliyopandwa na BWANA, ili atukuzwe.


Ee binti wa watu wangu, ujivike nguo ya magunia, na kugaagaa katika majivu; fanya maombolezo, kama maombolezo kwa ajili ya mwana wa pekee, maombolezo ya uchungu mwingi; maana mwenye kuteka nyara atakuja juu yetu ghafla.


nao wataomboleza kwa sauti juu yako, nao watalia kwa uchungu, na kutupa mavumbi juu ya vichwa vyao, na kugaagaa katika majivu;


Habari ikamfikia mfalme wa Ninawi, naye akaondoka katika kiti chake cha enzi, akavua vazi lake, akajivika nguo za magunia, na kuketi katika majivu.


Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida! Kwa kuwa kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika katika Tiro na Sidoni, wangalitubu zamani kwa kuvaa magunia na majivu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo