Yobu 2:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 BWANA akamwambia Shetani, Tazama, yeye yumo mkononi mwako; lakini tunza tu uhai wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Basi, Mwenyezi-Mungu akamwambia Shetani, “Haya! Waweza kumfanya utakavyo, walakini usimuue.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Basi, Mwenyezi-Mungu akamwambia Shetani, “Haya! Waweza kumfanya utakavyo, walakini usimuue.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Basi, Mwenyezi-Mungu akamwambia Shetani, “Haya! Waweza kumfanya utakavyo, walakini usimuue.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Mwenyezi Mungu akamwambia Shetani, “Vema sana; kwa hiyo, yeye yumo mikononi mwako, lakini lazima umwachie uhai wake.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 bwana akamwambia Shetani, “Vema sana, kwa hiyo, yeye yumo mikononi mwako, lakini lazima umwachie uhai wake.” Tazama sura |