Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 19:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Jueni basi kuwa Mungu amenipotosha, Na kunizingira kwa wavu wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Jueni kwamba Mungu amenitendea vibaya, na kuninasa katika wavu wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Jueni kwamba Mungu amenitendea vibaya, na kuninasa katika wavu wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Jueni kwamba Mungu amenitendea vibaya, na kuninasa katika wavu wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 basi jueni kuwa Mungu amenitendea yaliyo mabaya, naye amekokota wavu wake kunizunguka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 basi jueni kuwa Mungu amenitendea yaliyo mabaya, naye amekokota wavu wake kunizunguka.

Tazama sura Nakili




Yobu 19:6
18 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Ni vema kwako wewe kuonea, Na kuidharau kazi ya mikono yako, Na kuiunga mkono mipango ya waovu?


Mbona ninyi mnaniudhi kama Mungu, Wala hamkutosheka na nyama yangu?


Kama aishivyo Mungu, aliyeniondolea haki yangu; Huyo Mwenyezi aliyeitesa nafsi yangu;


Kwa nini mtu aliyezibiwa njia kupewa mwanga, Ambaye Mungu amemzingira kwa ukigo?


Wewe umegeuka kuwa mkali kwangu; Nawe waniudhi kwa uweza wa mkono wako.


Je! Hata hukumu yangu utaibatilisha? Utanitia mimi hatiani, upate kuhesabiwa haki?


Rudini, nawasihi, lisiwe neno la udhalimu; Naam, rudini tena, neno langu ni la haki.


Ikiwa nimefanya dhambi, nikufanyieje, Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?


Je! Mungu hupotosha hukumu? Au, huyo Mwenyezi hupotosha yaliyo ya haki?


Tena wavu wangu nitautandika juu yake, naye atanaswa kwa mtego wangu; nami nitampeleka Babeli, mpaka nchi ya Wakaldayo; lakini hataiona, ingawa atakufa huko.


Bwana MUNGU asema hivi; Nitautanda wavu wangu juu yako, kwa kusanyiko la watu wa kabila nyingi; nao watakuvua katika jarife langu.


Watakapokwenda nitatandika wavu wangu juu yao; nitawashusha kama ndege wa angani; nitawarudi, kama vile mkutano wao ulivyosikia.


Lakini, hapo mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, basi jueni ya kwamba uharibifu wake umekaribia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo