Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 19:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Laiti maneno yangu yangeandikwa sasa! Laiti yangeandikwa kitabuni!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 “Laiti maneno yangu yangeandikwa! Laiti yangeandikwa kitabuni!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 “Laiti maneno yangu yangeandikwa! Laiti yangeandikwa kitabuni!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 “Laiti maneno yangu yangeandikwa! Laiti yangeandikwa kitabuni!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 “Laiti maneno yangu yangewekwa kwenye kumbukumbu, laiti kwamba yangeandikwa kwenye kitabu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 “Laiti maneno yangu yangewekwa kwenye kumbukumbu, laiti kwamba yangeandikwa kwenye kitabu,

Tazama sura Nakili




Yobu 19:23
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yakachorwa katika mwamba milele, Kwa kalamu ya chuma na risasi.


Laiti ningekuwa na mtu wa kunisikia! (Tazama, sahihi yangu ni hii, Mwenyezi na anijibu); Laiti ningekuwa na hayo mashitaka yaliyoandikwa na adui yangu!


Haya, nenda sasa, andika neno hili katika kibao mbele ya macho yao, lichore katika kitabu ili liwe kwa ajili ya majira yatakayokuja, kwa ushuhuda hata milele.


BWANA akaniambia, Ujipatie ubao mkubwa ukaandike juu yake kwa hati ya kawaida, Kwa Maher-shalal-hash-bazi;


Twaa gombo la kitabu, ukaandike ndani yake maneno yote niliyokuambia juu ya Israeli, na juu ya Yuda, na juu ya mataifa yote, tangu siku ile niliponena nawe, tangu siku za Yosia, hata siku hii ya leo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo