Yobu 19:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Nihurumieni, nihurumieni, enyi rafiki zangu, Kwa maana mkono wa Mungu umenigusa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Nioneeni huruma, nioneeni huruma enyi rafiki zangu; maana mkono wa Mungu umenifinya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Nioneeni huruma, nioneeni huruma enyi rafiki zangu; maana mkono wa Mungu umenifinya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Nioneeni huruma, nioneeni huruma enyi rafiki zangu; maana mkono wa Mungu umenifinya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 “Nihurumieni, rafiki zangu, kuweni na huruma, kwa kuwa mkono wa Mungu umenipiga. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 “Nihurumieni, rafiki zangu, kuweni na huruma, kwa kuwa mkono wa Mungu umenipiga. Tazama sura |