Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 19:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Hata watoto wadogo hunidharau; Nikiondoka, huninena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Hata watoto wadogo hunidharau, mara ninapojitokeza wao hunizomea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Hata watoto wadogo hunidharau, mara ninapojitokeza wao hunizomea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Hata watoto wadogo hunidharau, mara ninapojitokeza wao hunizomea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Hata watoto wadogo hunidhihaki; ninapojitokeza, hunifanyia mzaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Hata watoto wadogo hunidhihaki; ninapojitokeza, hunifanyia mzaha.

Tazama sura Nakili




Yobu 19:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akakwea kutoka huko mpaka Betheli; naye alipokuwa akienda njiani, wakatoka vijana katika mji, wakamfanyizia mzaha, wakamwambia, Paa wewe mwenye upaa! Paa wewe mwenye upaa!


Pumzi zangu zimekuwa kinyaa kwa mke wangu, Nami ni machukizo kwa ndugu zangu.


Marafiki zangu wote wa dhati wanichukia; Na hao niliowapenda wamenigeukia.


Lakini sasa hao walio wadogo wangu hunifanyia mzaha, Ambao baba zao ningewadharau hata kuwasimamia mbwa wa kundi langu.


Kwa mkono wangu wa kulia huinuka kundi; Huisukuma miguu yangu kando, Na kunipandishia njia zao za uharibifu.


Umekaa na kumsengenya ndugu yako, Na mwana wa mama yako umemsingizia.


Nao watu wataonewa, kila mtu na mwenziwe, na kila mtu na jirani yake; mtoto atajivuna mbele ya mzee, na mtu mnyonge mbele ya mtu mwenye heshima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo