Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 18:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Tanzi litamshika kisigino chake, Na mtego utamshika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Mtego humkamata kisiginoni, tanzi humbana kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mtego humkamata kisiginoni, tanzi humbana kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mtego humkamata kisiginoni, tanzi humbana kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.

Tazama sura Nakili




Yobu 18:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

mara Waseba wakawashambulia, wakawachukua wakaenda nao; naam, wamewaua hao watumishi kwa makali ya upanga, mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.


Huyo alipokuwa akali akinena, akatokea na mwingine, na kusema, Wakaldayo walifanya vikosi vitatu, wakawaangukia ngamia, wakaenda nao, naam, wamewaua wale watumishi kwa makali ya upanga; mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.


Amefichiwa tanzi chini, Na mtego amewekewa njiani.


Kwani ametupwa katika wavu na miguu yake mwenyewe, Naye huenda juu ya matanzi.


Mavuno yake wale wenye njaa huyala, Na kuyatwaa hata kuyatoa miibani, Nao wenye kiu huzitwetea mali zao.


Wenye kiburi wamenifichia mtego na kamba; Wametandika wavu kando ya njia; Wameniwekea matanzi.


BWANA amejidhihirisha na kutekeleza hukumu; Amemnasa mdhalimu kwa kazi ya mikono yake.


Kuna mtego katika kosa la mtu mbaya; Bali mwenye haki huimba na kufurahi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo