Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 18:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Hatua zake za nguvu zitasongwa, Na shauri lake mwenyewe litamwangusha chini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Hatua zake ndefu zitafupishwa; mipango yake itamwangusha chini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Hatua zake ndefu zitafupishwa; mipango yake itamwangusha chini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Hatua zake ndefu zitafupishwa; mipango yake itamwangusha chini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa; hila zake mwenyewe zinamwangusha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa; shauri lake baya litamwangusha.

Tazama sura Nakili




Yobu 18:7
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja akamwambia Daudi ya kwamba, Ahithofeli yu katika hao waliopatana na Absalomu; Daudi akasema, Ee BWANA, nakusihi, uugeuze ushauri wa Ahithofeli uwe ubatili.


Naye Absalomu na watu wote wa Israeli wakasema, Ushauri wa Hushai, Mwarki, ni mwema kuliko ushauri wa Ahithofeli. Kwa maana BWANA alikuwa amekusudia kuuvunja ushauri mwema wa Ahithofeli, ili BWANA alete mabaya juu ya Absalomu.


Basi mfalme wa Shamu moyo wake ukamfadhaika sana kwa ajili ya jambo hili; akawaita watumishi wake, akawaambia, Je! Hamtanionesha, ni mtu yupi miongoni mwenu aliye upande wa mfalme wa Israeli?


Kinywa chako mwenyewe chakuhukumia makosa, wala si mimi; Naam, midomo yako mwenyewe hushuhudia juu yako.


Katika kujaa kwa wingi wake atakuwa katika dhiki; Mkono wa kila anayesumbuliwa utamjia.


Naam, yeye angekuongoza utoke katika msiba Hata mahali penye nafasi, ambapo hapana kizuizi; Na kilichowekwa mezani pako kingejaa mafuta.


Umezipanulia nafasi hatua zangu, Na miguu yangu haikuteleza.


BWANA huyabatilisha mashauri ya mataifa, Huitangua mipango ya watu.


Haki yake mtu mkamilifu itamwongoza njia yake; Bali mtu mwovu ataanguka kwa uovu wake.


Kuna mtego katika kosa la mtu mbaya; Bali mwenye haki huimba na kufurahi.


Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio hutajikwaa.


Nayo itachukuliwa Ashuru, iwe zawadi kwa mfalme Yarebu; Efraimu atapata aibu, na Israeli atalionea haya shauri lake mwenyewe.


Maana hekima ya dunia hii ni upuzi mbele za Mungu. Kwa maana imeandikwa, Yeye ndiye awanasaye wenye hekima katika hila yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo