Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 18:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Mwanga hemani mwake utakuwa giza, Nayo taa iliyo juu yake itazimwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Nyumbani kwake mwanga ni giza, taa inayomwangazia itazimwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Nyumbani kwake mwanga ni giza, taa inayomwangazia itazimwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Nyumbani kwake mwanga ni giza, taa inayomwangazia itazimwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Mwanga kwenye hema lake umekuwa giza; taa iliyo karibu naye imezimika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Mwanga hemani mwake umekuwa giza; taa iliyo karibu naye imezimika.

Tazama sura Nakili




Yobu 18:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wao hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga, Naye huwafanya kupepesuka kama mlevi.


Hatakuwa tajiri, wala mali zake hazitadumu, Wala mavuno yao hayatainama nchi.


Atang'olewa katika hema yake aliyokuwa akiitumaini; Naye atapelekwa kwake mfalme wa vitisho.


Je! Ni mara ngapi taa yao waovu huzimwa? Na msiba wao kuwajia? Na Mungu kuwagawanyia uchungu kwa hasira yake?


Hapo taa yake ilipomulika juu yangu kichwani, Nami nilitembea gizani kwa njia ya mwanga wake;


Kwa kuwa Wewe unaiwasha taa yangu; BWANA Mungu wangu aniangazia giza langu.


Mwenye kiburi na moyo wa majivuno, Taa yake ni dhambi.


Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.


Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.


Nami nitakapokuzimisha, nitazifunika mbingu, na kuzifanya nyota zake kuwa giza; nami nitalifunika jua kwa wingu, wala mwezi hautatoa nuru yake.


wala nuru ya taa haitamulika ndani yako tena kabisa; wala sauti ya bwana arusi na bibi arusi haitasikika ndani yako tena kabisa; maana hao wafanya biashara wako walikuwa wakuu wa nchi, kwa kuwa mataifa yote walidanganywa kwa uchawi wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo