Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 18:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Hao wanaokaa magharibi watastaajabia siku yake, Kama vile wanaokaa mashariki walivyotiwa hofu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Watu wa magharibi wameshangazwa na yaliyompata, hofu imewakumba watu wa mashariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Watu wa magharibi wameshangazwa na yaliyompata, hofu imewakumba watu wa mashariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Watu wa magharibi wameshangazwa na yaliyompata, hofu imewakumba watu wa mashariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata; watu wa mashariki watapatwa na hofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata; watu wa mashariki watapatwa na hofu.

Tazama sura Nakili




Yobu 18:20
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na ijapokuwa nyumba hii imetukuka namna hii, lakini kila apitaye atashtuka na kuizomea; nao watasema, Kwa nini BWANA ameitenda nchi hii na nyumba hii mambo haya?


Lakini Mungu huwadumisha wenye uwezo kwa nguvu zake; Huinuka, wasiokuwa na tumaini la kuishi.


Ee BWANA, uwakumbuke wana wa Edomu, Siku ile Yerusalemu ilipotekwa. Kwa namna walivyosema, Bomoeni! Bomoeni hata misingini!


BWANA atamcheka, Maana ameona kwamba siku yake inakuja.


ili kufanya nchi yao kuwa kitu cha kushangaza, na cha kuzomewa daima; kila mtu apitaye karibu nayo atashangaa, na kutikisa kichwa chake.


Wachinjeni mafahali wake wote; Na wateremkie machinjoni; Ole wao! Maana siku yao imewadia, Wakati wa kujiliwa kwao.


Na wewe, Ewe mtu mwovu, uliyetiwa jeraha kiasi cha kukuua, mkuu wa Israeli, ambaye siku yako imekuja, katika wakati wa uovu wa mwisho;


akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako.


watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiwa kwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo