Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 18:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Katika hema yake hakuna kitakachobaki; Kiberiti kitamwagwa juu ya makazi yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Nyumba yake tupu, wengine wataishi humo; madini ya kiberiti yametawanywa katika makao yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Nyumba yake tupu, wengine wataishi humo; madini ya kiberiti yametawanywa katika makao yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Nyumba yake tupu, wengine wataishi humo; madini ya kiberiti yametawanywa katika makao yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Moto utakaa katika hema lake; moto wa kiberiti utamwagwa juu ya makao yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Moto utakaa katika hema lake; moto wa kiberiti utamwagwa juu ya makao yake.

Tazama sura Nakili




Yobu 18:15
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo BWANA akanyesha juu ya Sodoma na juu ya Gomora kiberiti na moto kutoka mbinguni kwa BWANA.


Kwa kuwa jamii ya hao wasiomcha Mungu watakuwa tasa, Na moto utateketeza mahema yenye rushwa.


Awanyeshee wasio haki mitego, Moto na kiberiti na upepo wa joto Na viwe fungu la kikombe chao.


Ole wake aijengaye nyumba yake kwa uovu! Na vyumba vyake kwa udhalimu! Atumiaye utumishi wa mwenzake bila ujira, Wala hampi mshahara wake;


Kama vile vilivyotokea wakati wa kuangushwa Sodoma na Gomora, na miji iliyokuwa karibu nayo, asema BWANA; hapana mtu atakayekaa huko, wala hapana mwanadamu atakayekaa huko kama mgeni akaavyo.


Nitaituma itokee, asema BWANA wa majeshi, nayo itaingia katika nyumba ya mwizi, na katika nyumba ya yeyote aapaye kwa uongo kwa jina langu; nayo itakaa katika nyumba yake, na kuiteketeza, pamoja na boriti zake na mawe yake.


lakini siku ile Lutu aliyotoka Sodoma kulinyesha moto na kibiriti kutoka mbinguni vikawaangamiza wote.


BWANA atafanya mvua ya nchi yako iwe vumbi na mchanga; itakujilia juu yako kutoka mbinguni hata uangamie.


ya kuwa nchi yake nzima ni kibiriti, na chumvi, na kuteketea, haipandwi, wala haizai, wala nyasi hazimei humo, kama mapinduko ya Sodoma na Gomora, Adma na Seboimu, aliyoipindua BWANA kwa ghadhabu yake na hasira zake;


Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao hao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wakiwa hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo