Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 17:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Walekevu watayastaajabia hayo, Na asiye na hatia atajiamsha juu ya mpotovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Wanyofu wanaduwaa waonapo balaa langu, nao wasio na hatia hujichochea dhidi ya mtu wanayedhani hamchi Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Wanyofu wanaduwaa waonapo balaa langu, nao wasio na hatia hujichochea dhidi ya mtu wanayedhani hamchi Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Wanyofu wanaduwaa waonapo balaa langu, nao wasio na hatia hujichochea dhidi ya mtu wanayedhani hamchi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Watu wanyofu wanatishwa na hili; watu wasio na hatia wanasimama dhidi ya wasiomcha Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Watu wanyofu wanatishwa na hili; watu wasio na hatia wanasimama dhidi ya wasiomcha Mungu.

Tazama sura Nakili




Yobu 17:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nami niliposikia hayo, nikararua nguo yangu na joho langu, nikang'oa nywele za kichwa changu, na ndevu zangu, nikaketi kwa mshangao.


Wenye haki huyaona hayo wakafurahi; Nao wasio na hatia huwacheka;


Ili huyo mpotovu asitawale, Wala pasiwe na wa kuwatega watu.


Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, Usiwahusudu wafanyao ubatili.


Maana niliwaonea wivu wenye kujivuna, Nilipoiona hali ya amani ya wasio haki.


Ujapokuwa unaona maskini kuonewa, na hukumu na haki kuondolewa kwa jeuri katika jimbo, usilistaajabie jambo hilo; kwa sababu, Aliye Juu kuliko walio juu huangalia; Tena wako walio juu kupita hao.


Wewe uliye na macho safi hata usiweze kuangalia uovu, wewe usiyeweza kutazama ukaidi, mbona unawaangalia watendao kwa hila; na kunyamaza kimya, hapo mtu mwovu ammezapo mtu aliye mwenye haki kuliko yeye;


Paulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu linenwe kwenu kwanza; lakini kwa kuwa mnalisukumia mbali, na kujiona ninyi wenyewe kuwa hamkustahili uzima wa milele, angalieni, twawageukia Mataifa.


Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazieleweki!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo