Yobu 17:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Walekevu watayastaajabia hayo, Na asiye na hatia atajiamsha juu ya mpotovu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Wanyofu wanaduwaa waonapo balaa langu, nao wasio na hatia hujichochea dhidi ya mtu wanayedhani hamchi Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Wanyofu wanaduwaa waonapo balaa langu, nao wasio na hatia hujichochea dhidi ya mtu wanayedhani hamchi Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Wanyofu wanaduwaa waonapo balaa langu, nao wasio na hatia hujichochea dhidi ya mtu wanayedhani hamchi Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Watu wanyofu wanatishwa na hili; watu wasio na hatia wanasimama dhidi ya wasiomcha Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Watu wanyofu wanatishwa na hili; watu wasio na hatia wanasimama dhidi ya wasiomcha Mungu. Tazama sura |