Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 17:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Amenifanya niwe mithali kwa watu; Nimekuwa mwenye kuchukiwa kwa wazi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 “Nimefanywa kuwa kichekesho kwa watu nimekuwa mtu wa kutemewa mate.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 “Nimefanywa kuwa kichekesho kwa watu nimekuwa mtu wa kutemewa mate.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 “Nimefanywa kuwa kichekesho kwa watu nimekuwa mtu wa kutemewa mate.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 “Mungu amenifanya kitu cha dhihaka kwa kila mtu, mtu ambaye watu humtemea mate usoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 “Mungu amenifanya kitu cha dhihaka kwa kila mtu, mtu ambaye watu humtemea mate usoni.

Tazama sura Nakili




Yobu 17:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona umekimbia kwa siri ukanihadaa, wala hukuniambia, nipate kuagana nawe uende zako kwa furaha, na nyimbo, na ngoma, na kinubi?


basi nitawakatilia Israeli mbali na nchi hii niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa kwa jina langu, nitaitupilia mbali na macho yangu, na Israeli watakuwa mithali na neno la tusi katika mataifa yote.


Mimi ni mtu wa kuchekwa na jirani yake, Ni mtu niliyemwita Mungu, naye akanijibu; Huyo mwenye haki, aliye mtimilifu, amekuwa ni kicheko.


Ni kweli wako kwangu wenye kufanya dhihaka, Jicho langu hukaa katika kunifanyia uchungu kwao.


Wao hunichukia, na kujitenga nami, Hawaachi kunitemea mate usoni.


Na sasa mimi nimekuwa wimbo wao, Naam, nimekuwa simo kwao.


Umetufanya kuwa mithali kwa mataifa, Sababu ya kutikisa kichwa kwa watu wa nchi.


Mchana kutwa fedheha yangu i mbele yangu, Na aibu imeufunika uso wangu,


Nilipofanya gunia kuwa nguo zangu, Nikawa kifani cha dharau kwao.


Na kinubi, na zeze, na matari, na filimbi, na mvinyo, zote ziko katika karamu zao; lakini hawaiangalii kazi ya BWANA wala kuyafikiri matendo ya mikono yake.


BWANA akamwambia Musa, Je! Kama baba yake angalimtemea mate usoni tu, hangaliona aibu muda wa siku saba? Na afungwe nje ya kambi muda wa siku saba, kisha baada ya hayo ataletwa ndani tena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo