Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 17:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Awafitiniye rafiki zake wawe mawindo, Hata macho ya watoto wake yataingia kiwi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Mtu anayewasaliti rafiki zake kwa faida watoto wake watakufa macho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Mtu anayewasaliti rafiki zake kwa faida watoto wake watakufa macho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Mtu anayewasaliti rafiki zake kwa faida watoto wake watakufa macho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Kama mtu akiwashutumu rafiki zake ili apate ujira, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Kama mtu akiwashutumu rafiki zake ili apate ujira, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.

Tazama sura Nakili




Yobu 17:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Walakini katika siku zako sitafanya haya, kwa ajili ya Daudi baba yako; nitaurarua utoke katika mkono wa mwana wako.


Lakini macho ya waovu yataingia kiwi, Nao hawatakuwa na njia ya kukimbilia, Na matumaini yao yatakuwa ni kutoa roho.


Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,


Mwenye udaku hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.


Mwenye kujipendekeza kwa jirani yake, Hutandika wavu ili kuitega miguu yake.


Macho yetu yamechoka Kwa kuutazamia bure msaada wetu; Katika kungoja kwetu tumengojea taifa Lisiloweza kutuokoa.


Usimdhulumu jirani yako, wala kumnyang'anya mali yake; ujira wake aliyeajiriwa usikae kwako usiku kucha hadi asubuhi.


Usiende huku na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usijifaidi kwa damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.


Wala katika mataifa hayo hutapata raha iwayo yote, wala hutakuwa na kituo cha wayo wa mguu wako; lakini BWANA atakupa huko moyo wa kutetema, na macho ya kuzimia, na roho ya kudhoofika;


Maana hatukuwa na maneno ya kujipendekeza wakati wowote, kama mjuavyo, wala maneno ya juu juu ya kuficha choyo; Mungu ni shahidi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo