Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 17:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Litashuka kwenye makomeo ya kuzimu, Itakapokuwapo raha mavumbini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Tazamio langu litashuka nami kuzimu! Tutateremka sote wawili hadi huko mavumbini!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Tazamio langu litashuka nami kuzimu! Tutateremka sote wawili hadi huko mavumbini!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Tazamio langu litashuka nami kuzimu! Tutateremka sote wawili hadi huko mavumbini!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti? Je, tutashuka pamoja mavumbini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti? Je, tutashuka pamoja mavumbini?”

Tazama sura Nakili




Yobu 17:16
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Bildadi, Mshuhi, akajibu, na kusema,


Mifupa yake imejaa ujana wake, Lakini utalala nchi naye mavumbini.


Udongo wa bondeni utakuwa tamu kwake, Na watu wote watafuata nyuma yake, Kama vile walivyomtangulia watu wasiohesabika.


Siku zangu hupita upesi kuliko chombo cha kufumia, Nazo zapita pasipokuwa na matumaini.


Kama vile wingu likomavyo na kutoweka, Ndivyo alivyo huyo ashukaye kuzimuni, hatazuka tena kabisa.


Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Kisha akaniambia, Mwanadamu, mifupa hii ni nyumba yote ya Israeli; tazama, wao husema, Mifupa yetu imekauka, matumaini yetu yametupotea; tumekatiliwa mbali kabisa.


Nilishuka hata pande za chini za milima; Hiyo nchi ambayo mapingo yake yanafunga hata milele; Lakini umeipandisha nafsi yangu kutoka humo shimoni, Ee BWANA, Mungu wangu,


Naam, sisi wenyewe tulikuwa na hukumu ya mauti katika nafsi zetu ili tusijitumainie nafsi zetu, bali tumtumaini Mungu, awafufuaye wafu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo