Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 17:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Basi, tumaini langu liko wapi? Na tumaini langu, ni nani atakayeliona?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 je, nimebakiwa na tumaini gani? Ni nani awezaye kuona tumaini hilo?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 je, nimebakiwa na tumaini gani? Ni nani awezaye kuona tumaini hilo?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 je, nimebakiwa na tumaini gani? Ni nani awezaye kuona tumaini hilo?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 liko wapi basi tarajio langu? Ni nani awezaye kuona tarajio lolote kwa ajili yangu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 liko wapi basi tarajio langu? Ni nani awezaye kuona tarajio lolote kwa ajili yangu?

Tazama sura Nakili




Yobu 17:15
9 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, ataniua; sina tumaini; Ila hata hivyo nitaithibitisha njia yangu mbele yake.


Maji mengi huyapunguza mawe; Mafuriko yake huuchukua mchanga wa nchi; Nawe matumaini ya wanadamu wayaangamiza.


Amenibomoa pande zote, nami nimetoweka; Na tumaini langu ameling'oa kama mti.


Je! Dini yako siyo tegemeo lako? Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?


Nguvu zangu ni zipi, hata ningoje? Na mwisho wangu ni nini, hata nisubiri?


Siku zangu hupita upesi kuliko chombo cha kufumia, Nazo zapita pasipokuwa na matumaini.


Nilisema, Katika usitawi wa siku zangu nitakwenda kuingia malango ya kuzimu; Nimenyimwa mabaki ya miaka yangu.


Nikasema, Nguvu zangu zimepotea, Na tumaini langu kwa BWANA.


Kisha akaniambia, Mwanadamu, mifupa hii ni nyumba yote ya Israeli; tazama, wao husema, Mifupa yetu imekauka, matumaini yetu yametupotea; tumekatiliwa mbali kabisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo