Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 16:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Lakini ningewatia nguvu kwa kinywa changu, Na maliwazo ya midomo yangu yangewatuliza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Ningeweza kuwatia moyo kwa maneno yangu, na maneno yangu ya faraja yangewatuliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Ningeweza kuwatia moyo kwa maneno yangu, na maneno yangu ya faraja yangewatuliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Ningeweza kuwatia moyo kwa maneno yangu, na maneno yangu ya faraja yangewatuliza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Lakini kinywa changu kingewatia moyo; faraja kutoka mdomoni mwangu ingewaletea nafuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Lakini kinywa changu kingewatia moyo; faraja kutoka midomoni mwangu, ingewaletea nafuu.

Tazama sura Nakili




Yobu 16:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nami ningeweza kunena kama ninyi; Kama roho zenu zingekuwa mahali pa roho yangu, Ningeweza kutunga maneno juu yenu, Na kuwatikisia ninyi kichwa changu.


Nijapokuwa nanena, huzuni yangu haitulizwi; Nijapokuwa najizuia, nimepunguziwa kitu gani?


Niliwachagulia njia, nikakaa kama mkuu wao. Nikakaa kama mfalme katika jeshi la askari, Mfano wa awafarijiye hao waombolezao.


Kwake huyo atakaye kuzima roho inapasa atendewe mema na rafiki; Hata kwake huyo aachaye kumcha Mwenyezi.


Jinsi yafaavyo maneno ya uelekevu! Lakini shutuma zenu, je! Zimeonya nini?


Umtumainie BWANA, uwe imara, Upige moyo konde, naam, umngoje BWANA.


Chuma hunoa chuma; Ndivyo mtu aunoavyo uso wa rafiki yake.


Marhamu na manukato huufurahisha moyo; Kadhalika utamu wa rafiki ya mtu utokao katika kusudi la moyo wake.


Ndugu zangu, mtu akishikwa katika kosa lolote, ninyi mlio wa Roho mrejesheni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo