Yobu 16:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Nimeshona nguo ya magunia juu ya mwili wangu, Na nguvu zangu nimezibwaga mavumbini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 “Nimejishonea mavazi ya gunia, fahari yangu nimeibwaga mavumbini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 “Nimejishonea mavazi ya gunia, fahari yangu nimeibwaga mavumbini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 “Nimejishonea mavazi ya gunia, fahari yangu nimeibwaga mavumbini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 “Nimejishonea gunia juu ya mwili wangu, nami nimezika paji la uso wangu kwenye vumbi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 “Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu nami nimekizika kipaji cha uso wangu kwenye vumbi. Tazama sura |