Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 16:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Nilikuwa katika raha, naye akanivunjavunja; Naam, amenishika shingo, na kuniponda; Tena amenisimamisha niwe shabaha yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Nilikuwa nimestarehe, lakini akanivunjavunja, alinikaba shingo na kunipasua vipandevipande; alinifanya shabaha ya mishale yake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Nilikuwa nimestarehe, lakini akanivunjavunja, alinikaba shingo na kunipasua vipandevipande; alinifanya shabaha ya mishale yake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Nilikuwa nimestarehe, lakini akanivunjavunja, alinikaba shingo na kunipasua vipandevipande; alinifanya shabaha ya mishale yake,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja; amenikamata shingo na kuniponda. Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja; amenikamata shingo na kuniponda. Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;

Tazama sura Nakili




Yobu 16:12
19 Marejeleo ya Msalaba  

Humshambulia na shingo ngumu, Kwa mafundo makubwa ya ngao zake;


Mungu amenitia kwa hao wapotovu, Na kunitupa mikononi mwao waovu.


Kwa maana Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia, Naye Mwenyezi amenitaabisha;


Hapo taa yake ilipomulika juu yangu kichwani, Nami nilitembea gizani kwa njia ya mwanga wake;


Mimi sioni raha, wala situlii, wala kupumzika; Lakini taabu huja.


Kunguruma kwake simba, na sauti ya simba mkali, Na meno ya simba wachanga, yamevunjika.


Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Je! Mimi ni bahari, au je! Ni nyangumi? Hata ukawaweka walinzi juu yangu?


Ikiwa nimefanya dhambi, nikufanyieje, Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?


Yeye anipondaye kwa dhoruba, Na kuyaongeza majeraha yangu pasipokuwa na sababu.


Japo ulituponda katika pango la mbwamwitu, Na kutufunika kwa uvuli wa mauti.


Hakika juu yangu augeuza mkono wake Mara kwa mara mchana wote.


Amechakaza ngozi yangu na nyama yangu; Ameivunja mifupa yangu.


Walipokushika kwa mkono wako, ulivunjika, ukawararua mabega yao yote; nao walipokutegemea, ulivunjika, ukawatetemesha viuno vyao vyote.


Naye aangukaye juu ya jiwe hilo atavunjika vipande vipande; naye yeyote ambaye litamwangukia, litamsaga tikitiki.


waliokuwa tayari hata kukatwa kichwa kwa ajili ya maisha yangu; ambao ninawashukuru, wala si mimi tu, ila na makanisa ya Mataifa yote pia; nisalimieni na kanisa lililomo katika nyumba yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo