Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 15:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 Jambo hili litatendeka kabla ya wakati wake, Na tawi lake halitasitawi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Atalipwa kikamilifu kabla ya kufa kwake, na wazawa wake hawatadumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Atalipwa kikamilifu kabla ya kufa kwake, na wazawa wake hawatadumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Atalipwa kikamilifu kabla ya kufa kwake, na wazawa wake hawatadumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Atakuwa amelipwa kikamilifu kabla ya wakati wake, nayo matawi yake hayatastawi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Atakuwa amelipwa kikamilifu kabla ya wakati wake, nayo matawi yake hayatastawi.

Tazama sura Nakili




Yobu 15:32
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ambao walinyakuliwa kabla ya wakati wao, Msingi wao ulimwagika kama kijito cha maji;


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Kumcha BWANA kwaongeza siku za mtu; Bali miaka yao wasio haki itapunguzwa.


Usiwe mwovu kupita kiasi; Wala usiwe mpumbavu; Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?


Matawi yake yatakapokauka yatavunjwa; wanawake watakuja na kuyachoma moto; kwa maana hawa si watu wenye akili; kwa sababu hiyo yeye aliyewaumba hatawahurumia, yeye aliyewafanya hatawasamehe.


Efraimu amepigwa; mzizi wao umekauka; hawatazaa matunda; naam, wajapozaa, nitaliua tunda la tumbo lipendwalo sana.


Mtu asipokaa ndani yangu, hutupwa nje kama tawi na kunyauka; watu huyakusanya na kuyatupa motoni yakateketea.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo