Yobu 15:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Asiutumainie ubatili, na kujidanganya; Kwa kuwa huo ubatili ndio utakaokuwa ujira wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Heri aache kutumainia upuuzi na kujidanganya, maana upuuzi ndio utakaokuwa tuzo lake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Heri aache kutumainia upuuzi na kujidanganya, maana upuuzi ndio utakaokuwa tuzo lake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Heri aache kutumainia upuuzi na kujidanganya, maana upuuzi ndio utakaokuwa tuzo lake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Asijidanganye mwenyewe kutumainia ubatili, kwa kuwa hatapata malipo yoyote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Asijidanganye mwenyewe kutumainia ubatili, kwa kuwa hatapata malipo yoyote. Tazama sura |