Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 15:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Asiutumainie ubatili, na kujidanganya; Kwa kuwa huo ubatili ndio utakaokuwa ujira wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Heri aache kutumainia upuuzi na kujidanganya, maana upuuzi ndio utakaokuwa tuzo lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Heri aache kutumainia upuuzi na kujidanganya, maana upuuzi ndio utakaokuwa tuzo lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Heri aache kutumainia upuuzi na kujidanganya, maana upuuzi ndio utakaokuwa tuzo lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Asijidanganye mwenyewe kutumainia ubatili, kwa kuwa hatapata malipo yoyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Asijidanganye mwenyewe kutumainia ubatili, kwa kuwa hatapata malipo yoyote.

Tazama sura Nakili




Yobu 15:31
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwake yeye ziko nguvu, na hekima; Huyo adanganywaye, na mdanganyi pia ni wake.


Kwamba nimetembea katika ubatili, Na mguu wangu umeukimbilia udanganyifu;


Hakika Mungu hatasikia ubatili, Wala Mwenyezi hatauangalia.


Kama mimi nilivyoona, hao walimao maovu, Na kupanda madhara, huvuna yayo hayo.


Msiitumainie dhuluma, Wala msijivune kwa unyang'anyi; Mali izidipo msiiangalie sana moyoni.


Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma.


Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.


Hula majivu; moyo uliodanganyika umempotosha, asiweze kuiokoa nafsi yake, wala kusema, Je! Sio uongo mkononi mwangu?


Hakuna anayeshitaki kwa haki, wala hapana atetaye kwa kweli; hutumainia ubatili, hunena uongo; hupata mimba ya madhara, na kuzaa uovu.


BWANA asema hivi, Msijidanganye mkisema, Bila shaka Wakaldayo watatuacha na kwenda zao; maana hawatawaacha.


Kwa maana wao hupanda upepo, nao watavuna tufani; nafaka haina bua; machipuko yake hayatoi masuke; hata ikiwa yatoa, wageni watayameza.


Watu waangaliao mambo ya ubatili na uongo Hujitenga na rehema zao wenyewe.


Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake.


Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo na maana; kwa kuwa kwa sababu ya hayo hasira ya Mungu huwajia wana wa uasi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo