Yobu 15:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Hataondoka gizani; Ndimi za moto zitayakausha matawi yake, Naye ataondoka kwa pumzi za kinywa chake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Hatalikwepa giza la kifo. Ndimi za moto zitakausha chipukizi zake, maua yake yatapeperushwa na upepo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Hatalikwepa giza la kifo. Ndimi za moto zitakausha chipukizi zake, maua yake yatapeperushwa na upepo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Hatalikwepa giza la kifo. Ndimi za moto zitakausha chipukizi zake, maua yake yatapeperushwa na upepo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Hatatoka gizani; mwali wa moto utanyausha machipukizi yake, nayo pumzi ya kinywa cha Mungu itamwondolea mbali. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Hatatoka gizani; mwali wa moto utanyausha machipukizi yake, nayo pumzi ya kinywa cha Mungu itamwondolea mbali. Tazama sura |